Sale at Msogola\nWe are happy to present to the market this incomplete house for sale located in a very quite and peaceful neighborhood of Bagamoyo Msogola, I come up with:\n\n3 bedrooms\n1 master bedroom\nliving room\nkitchen\nstore\nparking space\n\nContact us and Schedule a visit!
BE FORWARD Real Estate Tanzania
+255 654 956 349
Kwa Awadhi\nMwendo dakika 5 kutoka main road eneo la kimkakati kiuchumi la heka moja lenye clean title deed lililozungushiwa fensi na kuna frame 7 za biashara ambazo bado hazijapauliwa paa juu, Hii Nyumba imeshuka tena bei kutoka Tshs 155,000,000/-❌\nMmiliki ana shida ya pesa haraka anataka Tshs 110,000,000/-✅\nMteja serious mazungumzo makubwa yapo.✅\nBagamoyo imerudi juu sasa kwa sababu wawekezaji wananunua na kuwekeza njia zao kuu za uchumi mkubwa unaotabiriwa iwapo issue ya bandari itaanza na mazungumzo yanaendelea vema kati ya muwekezaji na Serikali yetu tukufu chini ya mama Samia…\n
BE FORWARD Real Estate Tanzania
+255 654 956 349
Bagamoyo Ukuni\nNyumba nzuri ya kisasa inauzwa Bagamoyo Ukuni nyumba ina vyumba vitatu kimoja ni master,sebule,jiko na store ukubwa wa kiwanja ni 1200sqmt umbali kutoka main road ni 100m.
BE FORWARD Real Estate Tanzania
+255 654 956 349
House for sale Unfinished\nNYUMBA\nINAUZWA\nLocation Mapinga kibosha\nBagamoyo Road\nCountry Tanzania\nDar es salaam\nNyumba yenye vyumba 5 vyote\nNi selfconteine\nSitting room 2 zipo juu na chini na dinning room ipo chini.\nChini kuna vyumba 2 master, kuna choo cha public, jiko, Chumba cha saloon.\n#Milango walikusudia kuweka vioo vya ku-slide.\n#Juu kuna vyumba 3 kimoja master ndani yake kuna chumba cha nguo, chumba cha mashine ya kufulia na choo yake na bafu lake pamoja na Chumba cha maombi.\n#Vyumba viwili vya juu vyote ni master\n#Plot size Sqm 3500\n#Bei 300 milioni, maongezi yapo\nContact call\n0712531657\n#0789731695 whatsupp
Lucy Gelas
255789731695