Dodoma Mlimwa C\nNyumba inauzwa Dodoma Mlimwa C nyumba ni nzuri sana na ya kisasa ina vyumba vitatu viwili ni master, sebule,jiko,store,public washroom na parking space.
BE FORWARD Real Estate Tanzania
+255 654 956 349
*Shambaa linauzwa Mbabala Dodoma*\n-Shamba lina ukubwa wa Ekari 5\n-Shamba lina kisima cha maji chenye immersed pump na uwezo wa kutoa maji Lita 40,000 kwa siku na urefu wa mita 150\n-Shamba lina room za kulala room 3 jiko na choo\n-Shamba lina greenhouse\n-Shamba lina mabandaa ya block partition 6\n-Shamba lina hati na limepimwaa\n*Bei milioni 100*
Bashir Said
+255713982200
#Shambaa linauzwa Mbabalaa #Dodoma\n-Shambaa lina ukubwa wa Ekari 5\n-Shmba lina kisima cha maji chenye immersed pump na uwezo wa kutoa maji Lita 40,000 kwa siku na urefu wa mita 150\n-Shambaa lina room za kulala room 3 jiko na choo\n-Shambaa lina #greenhouse\n-Shambaa lina mabandaa ya block partition 6\n-Shamba lina hati na limepimwaa\nBei Tsh 100 milioni\n+255755654676
Emmanuel Maembe
+255755654676
Nyumba hii inauzwa na mmiliki Nyumba zipo2 kwenye plot1.\nNyumba ipo Dodoma area E, Ipagala. Ina title deed doc.\nUkubwa ni 1006 sqm.\nBei 190m negotiable.\nNyumba inagusa barabara ya mtaa na ipo mita150 kutoka barabara kuu.\nNyumba ipo katika potential area. Mmiliki anaruhusu kupokea instalment2 ndani ya mwezi.
Amri Yange
255719540643