TZS 1,500,000
/mo
Dodoma, Central Zone, Tanzania

Mashamba yapo kijiji cha Bihawana. Kuna jumla ya ekari 38, ni sehemu wanakokaa mapadre na linafaa kwa kilimo ya zabibu

Yapo umbali wa 12km kutoka Iringa-Dodoma road na 40km kutoka Dodoma mjini

Bei ni Tsh 1,500,000 (1.5milion) kwa ekari moja

Karibuni sana

Overview

Sale Price TZS 1,500,000
Property Lot Size 153780.30
Report
Take Ownership / Claim Listing
Compare List
Please Add a first listing
Compare Now