TZS 22,000
/mo
Mapinga, Bagamoyo, Pwani Region, Coastal Zone, Tanzania

MAPINGA PROJECTS

Tuna mradi wa viwanja eneo la mapinga shule

Viwanja vyetu viko umbali wa 1.5km kutoka bagamoyo road

Vipo kwenye muinuko na vina view ya Bahari. Ni eneo tulivu na lilojengeka hakika ni mahali salama kwa kuishi.

Mradi huu umezungukwa na huduma zote za mhimu kama maji, umeme, shule, maeneo ya kupumzika na kulala pia.

Mradi huu unaviwanja vya kuanzia 668sqm hadi 1500sqm.

 Bei ni pesa ya kitanzania 22,000 tu kwa kila sqm moja

Pia unakaribishwa wewe, ndgu jamaaa na marafiki kutembelea mradi huu mda wowote au fika ofice zetu zilizopo mapinga

Mawasaliano zaidi 0755654676

Overview

Sale Price TZS 22,000
Report
Take Ownership / Claim Listing
Compare List
Please Add a first listing
Compare Now