TZS 39,000,000
/mo
4
2
400
Pugu, Ilala Municipal, Dar es Salaam, Coastal Zone, Tanzania

Nyumba Inauzwa Tsh. 39 millions. Ipo pugu mpakani manispaa ya Jiji la Dar es salaam. Vyumba 4 sitting room master 1 jiko dining room & public toilet. Nyumba Ina maji ya Dawassa na umeme. Kiwanja sqm. 400 Hati ya mauziano ya ofisi ya serikali ya mtaa. Pia upimaji shirikishi umefanyika. Umbali kutoka main road Hadi kwenye nyumba ni dakika 7 kwa miguu.

Overview

Sale Price TZS 39,000,000
Size 400
Property Lot Size 400
Bedrooms 4
Bathrooms 2
Report
Take Ownership / Claim Listing
Compare List
Please Add a first listing
Compare Now