TZS 15,000,000
/mo
Kibaha, Kibaha Town, Pwani, Coastal Zone, Tanzania

Shamba lenye ukubwa wa Ekari 8 linauzwa VISIGA MADAFU – MKOA WA PWANI

Distance Kilometer 1 tu kutoka barabara kuu ya Morogoro road

Ndani ya shamba kuna maji safi ya Dawasa,Nyumba ya wafanya kazi, miti ya miembe, minazi ya kutosha pia kwasasa shamba linalimwa njugu mawe na mahindi

DOCUMENT Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa)
Samba limepimwa (Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua

Shamba lipo mtaa mzuri sana ulio jengeka na watu mashuhuli
barabara safi inayopitika vyema na magari ya aina zote

Bei shilingi milioni 15 kwa kila Ekari 1 maongezi kidogo yapo

NOTE📍umbali ni kilometre 1 tu kutoka barabara kuu ya Morogoro road.

Overview

Sale Price TZS 15,000,000
Property Lot Size 32374.80
Report
Take Ownership / Claim Listing
Compare List
Please Add a first listing
Compare Now